Rapper LL COOL J amechaguliwa kuwa mshereheshaji katika onyesho la The Grammy Nominations linalo tarajia kufanyika jijini Los Angeles.
LL ambaye alishawahi kushinda tuzo hizo, ataongoza mzigo huo kwa mara ya pili mfululizo.
Baadhi ya wasanii waliotajwa kukamua katika onyesho hilo ni kundi la Black Eyed Peas, Maxwell na Sugarland.
MADAKTARI BINGWA 40 KUANZA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI ZA
HALMASHAURI ZOTE RUVUMA
-
Na Albano Midelo,Songea
Huduma za mkoba za madaktari Bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika
hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Me...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,