Mwanamuzi Elton John ameanza kupata nafuu hospitali baada ya kulazwa kwa kupata mafua yanayo sababishwa na bakteria aina ya e coil, ambapo imemsababishia kufuta matamasha kadhaa ambayo alipanga kuyafanya.
Hata hivyo msemaji wake amenukuliwa akisema anatarajia Sir John kurejea jukwaani mapema kwa ajili ya kuendelea na matamasha yake.
Ugonjwa huo ulipelekea Elton John kuahirisha matamasha yake ya Uingereza, Ireland hata lile lililopangwa kufanyika Oktoba 23 huko Sheffield na mengine matatu yaliyokuwa yafanyike November 4 na 7.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment
,