Huyu mchizi ni moja kati ya watu walio tunga jina la MAUJANJA kutumika kama kundi ambapo tuna fahamu kuna wasanii wengine kama mapacha na wengineo, mchizi kwa sasa yupo chuo anapiga book kwa ajili ya kujiendeleza zaidi.
Jamaa ulianza kumsoma poa kupitia ngoma yake ya SMS ambayo inafanya poa katika chat za video za CHANNEL O na kwa sasa ameachia mkwaju mwingine unaitwa IMEKULA KWAKO.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
10 hours ago
Hiyo ngoma ya kwanza nikali mbayaa mchizi anaweza....
ReplyDelete