.

Thursday, November 26, 2009

D'BANJI AMESHATIA MAGUU BONGO..

Mwanamuziki Di Banji katikati wa Nigeria amewasili leo mchana kwenye uwamja wa ndege wa mwalimu J.K.Nyerere kwa ndege ya shirika la ndege la Ethiopia Airline.
Mchizi ni moja kati ya wasanii ambao stage itawahusu sana tu juma mosi hii katika viwanja vya Tanganyika Pakers Kawe.

Hii inaitwa Inter-College Special 2009 itakayo sindikizwa na wasanii wengine kutoka Bongo na Kenya, Belle9, Cpwa, Mangwear, Jua kali, Nonini na wengineo wengi kiingilio ni buku tatu jero tu...!!!

No comments:

Post a Comment

,