Mwanamuziki Di Banji katikati wa Nigeria amewasili leo mchana kwenye uwamja wa ndege wa mwalimu J.K.Nyerere kwa ndege ya shirika la ndege la Ethiopia Airline.
Mchizi ni moja kati ya wasanii ambao stage itawahusu sana tu juma mosi hii katika viwanja vya Tanganyika Pakers Kawe.
Hii inaitwa Inter-College Special 2009 itakayo sindikizwa na wasanii wengine kutoka Bongo na Kenya, Belle9, Cpwa, Mangwear, Jua kali, Nonini na wengineo wengi kiingilio ni buku tatu jero tu...!!!
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
,