Rapper DMX amejikuta katika matatizo mengine kwani kwa sasa anadaiwa kiasi cha dola millioni 1.5 za ushuru.
Mamlaka ya mapato ya jijini New York imefunguwa mashtaka dhidi ya rapper huyo pamoja na mkewe Tashera kwa kushindwa kulipa ushuru huo mnamo mwaka 2006.
Mbali na hapo rapper huyo anadaiwa kiasi cha dola 44,357 na dola 370,460
za ushuru kwa kushindwa kulipa mnamo mwaka 2005.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,