PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Sunday, November 22, 2009
TAZAMA HII T-SHIRT YA HUYU DADA.
Itazame vizuri hii tshirt alafu isome na uielewe kisha tazama huo mshale...!!! umegunduwa kitu eeehee...!! basi watu wengi walikuwa hawaja gunduwa hilo na huu mshale uliwahusu sana. huyu dada ni mmoja kati ya waandaaji wa tamasha la BRING IT ON.
Tazama hiyo picha hapo mshale tayari umesha muhusu jamaa lakini alikuwa haja sanuka na hilo mpotezee chek na huyu....
Jamaa naye kajiachia wala hajui kinachoendelea katika flana ya huyo bishosti naye mshale ukamuhusu.
Huyu pia ndani mshale ulimuhusu bila yeye kujuwa, lakini me huwa najiuliza swali moja hiviiii... hizi nguo zenye maandishi kama hii huwa tuna vaa tukijuwa maana yake au wengi wetu huvaa tu kwa ajili ya kijistili....???? lakini me nahisi huyu dada alikuwa ajuwa anacho kifanya na iliwahusu wengi sana hii nguo.
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
No comments:
Post a Comment
,