Itazame vizuri hii tshirt alafu isome na uielewe kisha tazama huo mshale...!!! umegunduwa kitu eeehee...!! basi watu wengi walikuwa hawaja gunduwa hilo na huu mshale uliwahusu sana. huyu dada ni mmoja kati ya waandaaji wa tamasha la BRING IT ON.
Tazama hiyo picha hapo mshale tayari umesha muhusu jamaa lakini alikuwa haja sanuka na hilo mpotezee chek na huyu....
Jamaa naye kajiachia wala hajui kinachoendelea katika flana ya huyo bishosti naye mshale ukamuhusu.
Huyu pia ndani mshale ulimuhusu bila yeye kujuwa, lakini me huwa najiuliza swali moja hiviiii... hizi nguo zenye maandishi kama hii huwa tuna vaa tukijuwa maana yake au wengi wetu huvaa tu kwa ajili ya kijistili....???? lakini me nahisi huyu dada alikuwa ajuwa anacho kifanya na iliwahusu wengi sana hii nguo.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment
,