Fununu zinadai kwamba wapinzani wawili Jose Chameleone na Bebe Cool wako studio kurekodi albam ya pamoja.
Inasemekana wanataka kutumia njia hii kama njia moja wapo ya kuwawezesha kutikisa tena anga ya muziki Afrika Mashariki.
Wimbo wa kwanza pengine kuachiwa ni remix ya wimbo uitwao 'Bogolako' ambao aliuimba Bebe Cool.
DKT. YONAZI ASISITIZA KUWEKWA ANWANI ZA MAKAZI NYUMBA ZINAZOJENGWA HANANG
-
NA. MWANDISHI WETU
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na
Uratibu Dkt. Jim Yonazi ametembelea na kukagua maendeleo ya...
40 minutes ago
hope itakuwa kali mbayaaa...ngoja tusubili tuone...
ReplyDeleteThis is the way to go.
ReplyDeleteBlessings to y'all Brothers