Mwanandondi mkongwe Evander Holyfield anatarajia kutuwa nchini Uganda kwa ajili ya pambano moja ambalo linatarajiwa kufanyika mwezi ujao.
Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Evander kukanyaga ardhi ya nchini Uganda.
Katika pambano hilo ambalo litafanyika jijini Kampala mwanandondi huyo anatarajia kukipiga na mchizi kutoka Afrika Kusini anaitwa Francois "White Buffalo" Botha.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment
,