Mchizi ambaye amebarikiwa vipaji na Mungu kwanza ni bonge la Mtangazaji na hata kama ukimuweka katika uigizaji anababuwa mbayaaaaa.... Niamini mimi, Benny Kinyaiya kwa muda mrefu sana alikuwa haonekani katika runinga kama mtangazaji ishu iliyo sababisha mashabiki zake kulalama kuhusu hilo lakini kwa sasa mchizi amewataka mashabiki zake kuelekwza macho yao kwenye CHANNEL TEN katika kipindi chake kinachoitwa Full Vipaji ambacho hurushwa hewani kila jumapili kuanzia saa 11:30 na kurudiwa jumatatu saa 7:30 mchana.
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,