Mchizi ambaye amebarikiwa vipaji na Mungu kwanza ni bonge la Mtangazaji na hata kama ukimuweka katika uigizaji anababuwa mbayaaaaa.... Niamini mimi, Benny Kinyaiya kwa muda mrefu sana alikuwa haonekani katika runinga kama mtangazaji ishu iliyo sababisha mashabiki zake kulalama kuhusu hilo lakini kwa sasa mchizi amewataka mashabiki zake kuelekwza macho yao kwenye CHANNEL TEN katika kipindi chake kinachoitwa Full Vipaji ambacho hurushwa hewani kila jumapili kuanzia saa 11:30 na kurudiwa jumatatu saa 7:30 mchana.
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,