Mchizi ambaye amebarikiwa vipaji na Mungu kwanza ni bonge la Mtangazaji na hata kama ukimuweka katika uigizaji anababuwa mbayaaaaa.... Niamini mimi, Benny Kinyaiya kwa muda mrefu sana alikuwa haonekani katika runinga kama mtangazaji ishu iliyo sababisha mashabiki zake kulalama kuhusu hilo lakini kwa sasa mchizi amewataka mashabiki zake kuelekwza macho yao kwenye CHANNEL TEN katika kipindi chake kinachoitwa Full Vipaji ambacho hurushwa hewani kila jumapili kuanzia saa 11:30 na kurudiwa jumatatu saa 7:30 mchana.
MABARAZA YA USHINDANI,MASOKO YA MITAJI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Baraza la Masoko ya Mitaji linatarajia kuimarisha ushirikiano kwa
kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa kesi, utatuzi wa migogoro na
matumizi ya tekno...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,