Mchizi ambaye amebarikiwa vipaji na Mungu kwanza ni bonge la Mtangazaji na hata kama ukimuweka katika uigizaji anababuwa mbayaaaaa.... Niamini mimi, Benny Kinyaiya kwa muda mrefu sana alikuwa haonekani katika runinga kama mtangazaji ishu iliyo sababisha mashabiki zake kulalama kuhusu hilo lakini kwa sasa mchizi amewataka mashabiki zake kuelekwza macho yao kwenye CHANNEL TEN katika kipindi chake kinachoitwa Full Vipaji ambacho hurushwa hewani kila jumapili kuanzia saa 11:30 na kurudiwa jumatatu saa 7:30 mchana.
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,