Naomi Cambell akihusika poa katika jukwaa, wakati wa onesho maalum lililoandaliwa na Taasisi ya kimataifa yab The White Ribbon Alliance for safe motherhood(WRA) nchini lillilofanyika jana usiku katika hoteli ya movenpick jijini Dar es salaam , kampeni hii inalenga kuhamasisha afya ya mama na mtoto mara baada ya kujifungua.
Huyu ni mchizi kutoka EATV anaitwa Deogratius Kithama akifanya mahojiano na Naomi Cambell jana usiku katika onesho la mavazi la The White Ribbon Alliance for safe Motherhood
Mke wa Rais mama Salma Kikwete akiongea na Mwanamitindo wa kimataifa Naomi Cambell wakati wa onyesho la mavazi la The White Ribbon Alliance for safe Motherhood lililofanyika kwenye Hoteli ya Movenpick
MADAKTARI BINGWA 40 KUANZA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI ZA
HALMASHAURI ZOTE RUVUMA
-
Na Albano Midelo,Songea
Huduma za mkoba za madaktari Bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika
hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Me...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,