Mwanamuziki kuoka nchini Kenya Mwanaisha Abdallah maarufu kama Nyota Ndogo anatarajia kuanza kuingia katika kazi ya utangazaji kwa mara ya kwanza baada ya kuwa muimbaji kwa miaka kumi.
Mwanamuziki huyo anatarajiwa kuwa ni miongoni mwa watangazaji wapya wa radio hiyo mpya nchi Kenya ya masafa ya FM.
Nyota ndongo ameonekana katika jengo la Cannon Tower ambapo ndipo zipo ofisi za Radio hiyo mpya akitoka kujifunza namna ya kutumia vifaa vya studio, na inasemekana yeye pamoja na watangazaji wengine wapya watatambulisha rasmi mwezi Desember.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment
,