Huu ni ujio wa album mpya ya Albert Mangwear aka Cowbama inayoitwa NG'E 1982... album hii itatoka siku ya tarehe 16 ambapo ndio itakuwa tarehe ya kuzaliwa kwake Mangwear. Amesema album iko poa sana na ina ngoma zake hit kibao washkaji wakae mkao wakusikiliza kitu kizuri maana wamenimiss sana tokea miaka mitano iliyopita.
Album hii inasimamiwa na Zizzou Entertainment na soon tutawaambia sehemu zinapopatikana.
DKT. YONAZI ASISITIZA KUWEKWA ANWANI ZA MAKAZI NYUMBA ZINAZOJENGWA HANANG
-
NA. MWANDISHI WETU
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na
Uratibu Dkt. Jim Yonazi ametembelea na kukagua maendeleo ya...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,