Rapper Cannibal wa nchini Kenya anatazamia kupata mkataba na kampuni ya kurecord muziki nchini Afrika Kusini.
Mchizi alikuwa nchini humo kwa ajili ya kuhudhuria halfa ya tuzo za muziki amedai kuwa ameshaongea na baadhi ya kampuni hizo na haja ridhishwa nazo lakini atapopata moja itakayo mridhisha na mkataba wa maana basi hao ndio ataingia nao mkataba.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment
,