Hii ni kampuni inayojihusisha na harakati za kuendeleza muziki wetu wa Bongo Flva inaitwa MAUCHAFU INTERTAINMENT, Kampuni ambayo inamilikiwa na mchizi ambaye yeye ni mbongo lakini kwa sasa mchizi anaishi Finland huko anafanya shughuli zake pamoja na kuandaa miundombinu ya kuhakikisha muziki wetu uanfika katika level flan hivi...
Kwa sasa kampuni hiyo inawasanii kama Ney wa Mitego pamoja na Hakim 5 na wengineo ambao wapo huko Finland
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,