Baada ya mishe mishe zote hizo sasa dogo akaangukia penyewe ambapo raia walikuwa wanapataka, ameachia mkwaju mmoja matata sana unaitwa KAMWAMBIE kama bado hujausoma angalia Planet Bongo leo saa tatu usiku utaisoma..... Na kama kama ulikuwa humjuwi huyu ndio Diamond alidriki hadi kuiba pete ya dhahabu ya mama yake na kuuza kwa ajili ya kwenda kurecod duh...!!!!
TADB, TWCC KUINUA WANAWAKE NA VIJANA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI
-
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeingia makubaliano na Chama
cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) kwa lengo la kuwawezesha
wanawake n...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,