Baada ya mishe mishe zote hizo sasa dogo akaangukia penyewe ambapo raia walikuwa wanapataka, ameachia mkwaju mmoja matata sana unaitwa KAMWAMBIE kama bado hujausoma angalia Planet Bongo leo saa tatu usiku utaisoma..... Na kama kama ulikuwa humjuwi huyu ndio Diamond alidriki hadi kuiba pete ya dhahabu ya mama yake na kuuza kwa ajili ya kwenda kurecod duh...!!!!
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment
,