Ugonjwa homa ya mafua ya nguruwe unaosababishwa na na virusi vya H1N1, umeendelea kusambaa kwa macebreti duniani.
Mwanamuziki wa kundi la Boys II Men, Shawn Stockman imethibitika kuwa anauguwa ugonjwa huo, kwa mujibu wa habari iliyotolewa na wenzake Wanya Morris na Nathan Morris.
Wanamuziki hao wamesema kutokanan na Stockman kuuguwa ugonjwa huo wameshindwa kusafiri naye kuja Atlanta jumanne ya wikii hii ambapo kundi hilo lilialikwa kutumbuiza katika tuzo za Soul Train.
TADB, TWCC KUINUA WANAWAKE NA VIJANA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI
-
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeingia makubaliano na Chama
cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) kwa lengo la kuwawezesha
wanawake n...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,