Ugonjwa homa ya mafua ya nguruwe unaosababishwa na na virusi vya H1N1, umeendelea kusambaa kwa macebreti duniani.
Mwanamuziki wa kundi la Boys II Men, Shawn Stockman imethibitika kuwa anauguwa ugonjwa huo, kwa mujibu wa habari iliyotolewa na wenzake Wanya Morris na Nathan Morris.
Wanamuziki hao wamesema kutokanan na Stockman kuuguwa ugonjwa huo wameshindwa kusafiri naye kuja Atlanta jumanne ya wikii hii ambapo kundi hilo lilialikwa kutumbuiza katika tuzo za Soul Train.
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,