Ugonjwa homa ya mafua ya nguruwe unaosababishwa na na virusi vya H1N1, umeendelea kusambaa kwa macebreti duniani.
Mwanamuziki wa kundi la Boys II Men, Shawn Stockman imethibitika kuwa anauguwa ugonjwa huo, kwa mujibu wa habari iliyotolewa na wenzake Wanya Morris na Nathan Morris.
Wanamuziki hao wamesema kutokanan na Stockman kuuguwa ugonjwa huo wameshindwa kusafiri naye kuja Atlanta jumanne ya wikii hii ambapo kundi hilo lilialikwa kutumbuiza katika tuzo za Soul Train.
MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment
,