.

Friday, November 13, 2009

INAWEZEKANA ALIJISAHAU AKADAHINI YUPO ULINGONI..!!!

Bondia Mike Tyson amesekwa rumande kwa kosa la kumpiga ngumi mwandishi wa habari.
Tyson alikuwa akipigwa picha na paparazzi jijini Los Angeles akiwa na familia yake kitendo ambacho kilimkasirisha na kuamua kurusha ngumi.
Paparazzi huyo ilibidi akimbizwe hospitali kwa sababu alivunjika pua... huo ndio mkwaju wa bwana mkubwa Tyson na kama angekuwa bongo duh...!!! hospitali zingejaa kwa sababu najuwa bongo kwa picha tuuu hatu jambo.

No comments:

Post a Comment

,