Bondia Mike Tyson amesekwa rumande kwa kosa la kumpiga ngumi mwandishi wa habari.
Tyson alikuwa akipigwa picha na paparazzi jijini Los Angeles akiwa na familia yake kitendo ambacho kilimkasirisha na kuamua kurusha ngumi.
Paparazzi huyo ilibidi akimbizwe hospitali kwa sababu alivunjika pua... huo ndio mkwaju wa bwana mkubwa Tyson na kama angekuwa bongo duh...!!! hospitali zingejaa kwa sababu najuwa bongo kwa picha tuuu hatu jambo.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,