Baba wa Michael Jackson, Joe Jackson amepigwa chini katika kurithi mali za mwanaye lakini anaweza akapata allowance.
Jaji wa mahakama amesema jina la mshua huyo halijawekwa katika mirathi lakini atakuwa anapewa kidogo fedha za matumizi.
Joe ndio alikuwa mstari wa mbele katika kutoa mafunzo na kuanzisha kundi landugu watano la The Jackson 5, kundi ambalo ndio lilikuwa mwanzo wa Michael Jackson kupata umaarufu duniani kote.
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,