Baba wa Michael Jackson, Joe Jackson amepigwa chini katika kurithi mali za mwanaye lakini anaweza akapata allowance.
Jaji wa mahakama amesema jina la mshua huyo halijawekwa katika mirathi lakini atakuwa anapewa kidogo fedha za matumizi.
Joe ndio alikuwa mstari wa mbele katika kutoa mafunzo na kuanzisha kundi landugu watano la The Jackson 5, kundi ambalo ndio lilikuwa mwanzo wa Michael Jackson kupata umaarufu duniani kote.
MADAKTARI BINGWA 40 KUANZA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI ZA
HALMASHAURI ZOTE RUVUMA
-
Na Albano Midelo,Songea
Huduma za mkoba za madaktari Bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika
hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Me...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,