Baba wa Michael Jackson, Joe Jackson amepigwa chini katika kurithi mali za mwanaye lakini anaweza akapata allowance.
Jaji wa mahakama amesema jina la mshua huyo halijawekwa katika mirathi lakini atakuwa anapewa kidogo fedha za matumizi.
Joe ndio alikuwa mstari wa mbele katika kutoa mafunzo na kuanzisha kundi landugu watano la The Jackson 5, kundi ambalo ndio lilikuwa mwanzo wa Michael Jackson kupata umaarufu duniani kote.
TADB, TWCC KUINUA WANAWAKE NA VIJANA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI
-
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeingia makubaliano na Chama
cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) kwa lengo la kuwawezesha
wanawake n...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,