Mshindi wa tuzo ya msanii mwenye mashairi bora duniani na mwaka jana, Mrisho Mpoto 'Mjomba' anatarajiwa kuondoka nchini wiki ijayo kuelekea jijini Paris, Ufaransa kwa ajili ya kukabidhi tuzo hiyo kwa mshindi wa mwaka huu.
Mrisho anasafiri kuelekea Paris Ufaransa kukabithi tuzo ya msanii mwenye mashairi bora wa mwaka 2008, ambayo itashindaniwa kuanzia November 16 hadi 22 katika visiwa vya Eunion, vilivyoko kwenye Bahari ya Hindi.
MADAKTARI BINGWA 40 KUANZA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI ZA
HALMASHAURI ZOTE RUVUMA
-
Na Albano Midelo,Songea
Huduma za mkoba za madaktari Bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika
hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Me...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,