Hawa ni wanajeshi kutoka chuo cha mawasiliano kutoka mgulani walitimba mzigoni kuangalia jinsi mzigo unavyosukumwa pande hizi...
Huyu anaitwa Nicky ni editor wa EATV akitowa maelekezo kwa mmoja wa askari walio kuja leo.
Wanaendelea kupokea maelekzo jinsi EATV inavyo fanya kazi zake.
Kila kinacho semwa inabidi kiandikwe kwa ajili ya kumbu kumbu.. ndicho kinacho fanyika hapo.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,