.

Sunday, November 29, 2009

HAWA NDIO MAPACHA WANNE..

Hapa namzungumzia Chokoraa, Kalala Jr, Chaz Baba pamoja na Jose Mara. Hawa jamaa wanatoka katika band mbali mbali lakini wamegunduwa kwa umoja wao wanaweza wakafanya kitu kitakacho kuwa burudani kwa raia.

Leo ndio utakuwa utambulisho rasmi wa vijana hawa katika ukumbi wa Java Stereon - Kinondoni mlangoni utasalimisha buku tano tu. TID ni moja kati ya wasanii watakao toa taf kwa mapacha hao.

1 comment:

,