BRING IT ON ni tamasha linaliwakutanisha wanafunzi kwa pamoja katika upande wa burudani litafanyika ijumaa hii pale Diamond Jubilee na kushirikisha wasanii tofauti wa Bongo flava, yupo Hemedi, God Zila, Dully Sykes, Baby Madaha na wengine wengi.
Unaweza kumuita PHD au dry chama na sijajuwa sababu ya mchizi kujiita hivyo lakini itabidi nimuulize kuhusu hili ni moja kati ya wasanii watakao kamuwa ijumaa hii Diamon Jubilee.
Huyu mchizi anaitwa Said ni moja kati ya waandaajia wa hilo dude latakalo fanyika ijumaa hii, alikuwa katika interview na Sam katika Power Jams leo mchana.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment
,