PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Thursday, November 19, 2009
BRING IT ON CONCERT IJUMAA HII.
BRING IT ON ni tamasha linaliwakutanisha wanafunzi kwa pamoja katika upande wa burudani litafanyika ijumaa hii pale Diamond Jubilee na kushirikisha wasanii tofauti wa Bongo flava, yupo Hemedi, God Zila, Dully Sykes, Baby Madaha na wengine wengi.
Unaweza kumuita PHD au dry chama na sijajuwa sababu ya mchizi kujiita hivyo lakini itabidi nimuulize kuhusu hili ni moja kati ya wasanii watakao kamuwa ijumaa hii Diamon Jubilee.
Huyu mchizi anaitwa Said ni moja kati ya waandaajia wa hilo dude latakalo fanyika ijumaa hii, alikuwa katika interview na Sam katika Power Jams leo mchana.
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
No comments:
Post a Comment
,