
Sooo...!!! mchizi kaona sio ishu sasa anataka kuuthibitishia umma kuwa jamaa wanavipaji na wanaweza kufanya kitu katika huu muziki wa Bongo Flva ndio maana amechukuwa uwamuzi wa kuwagonganisha pamoko kwenye Albam moja.
Tale amesema albam hiyo itahusisha vichwa vitano bora vya BSS ambavyo ni Paschal Cassian wa Mwanza, Beatrice William wa mwanza, Peter Maechi toka mkoa wa Kigoma, Jackson George anayewakilisha mkoa wa Tanga na Kelvin Mbati toka Mkoa wa Dar es Salaam. Mzigo upo chimbo unawekwa sawa ukiwa tayari nitakuhabarisha.
No comments:
Post a Comment
,