Fununu zinadai kwamba wapinzani wawili Jose Chameleone na Bebe Cool wako studio kurekodi albam ya pamoja.
Inasemekana wanataka kutumia njia hii kama njia moja wapo ya kuwawezesha kutikisa tena anga ya muziki Afrika Mashariki.
Wimbo wa kwanza pengine kuachiwa ni remix ya wimbo uitwao 'Bogolako' ambao aliuimba Bebe Cool.
Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
3 hours ago
hope itakuwa kali mbayaaa...ngoja tusubili tuone...
ReplyDeleteThis is the way to go.
ReplyDeleteBlessings to y'all Brothers