Hapa namzungumzia Chokoraa, Kalala Jr, Chaz Baba pamoja na Jose Mara. Hawa jamaa wanatoka katika band mbali mbali lakini wamegunduwa kwa umoja wao wanaweza wakafanya kitu kitakacho kuwa burudani kwa raia.
Leo ndio utakuwa utambulisho rasmi wa vijana hawa katika ukumbi wa Java Stereon - Kinondoni mlangoni utasalimisha buku tano tu. TID ni moja kati ya wasanii watakao toa taf kwa mapacha hao.
Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
3 hours ago
Asha baraka katibua dili
ReplyDelete