Ziara ya Waziri Mkuu Arusha Yaweka Msisitizo kwa Utulivu
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha
amani na utulivu nchini akisisitiza kuwa mazingira ya amani ndiyo msingi
m...
1 hour ago

hello wakuu wa Mpango Mzima
ReplyDeleteBig Up sana kwa crew nzima ya EATV, nawapa wote pole waliomiss hyo show maana haijawahi kutokea Moshi na ndani ya club La Liga
Nilihudhuria hiyo show ilikuwa ya ukweli na uhakika na ilitendea haki wakazi wa Moshi
Ombi langu Kubwa nawaomba sanaa tena sanaa kwa heshima ya Kanda ya kaskazini Mrejee tena mybe Dec. Tunawapenda sna EATV na tunawakilisha pamoja sna
Karibuni snaaaa
Big Up Musaaa Mfalme wa uswazi na Dj Mafuvuuuu na Crew nzima