Huyu mchizi ni moja kati ya watu walio tunga jina la MAUJANJA kutumika kama kundi ambapo tuna fahamu kuna wasanii wengine kama mapacha na wengineo, mchizi kwa sasa yupo chuo anapiga book kwa ajili ya kujiendeleza zaidi.
Jamaa ulianza kumsoma poa kupitia ngoma yake ya SMS ambayo inafanya poa katika chat za video za CHANNEL O na kwa sasa ameachia mkwaju mwingine unaitwa IMEKULA KWAKO.
Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
1 hour ago
Hiyo ngoma ya kwanza nikali mbayaa mchizi anaweza....
ReplyDelete